Rais Kagame Ateuliwa Kuongoza Tume ya Umoja wa Mataifa Inayosimamia Akili Mnemba
Rais Paul Kagame ameteuliwa kuwa Mwenyekiti Mkuu wa Tume mpya ya Umoja wa Mataifa inayosimamia kuendeleza matumizi ya Akili Mnemba (AI) duniani, AI for Good Global Commission.


