Jeshi lililositisha mauaji ya kimbari bado lipo – Waziri Nduhungirehe aonya wanaotaka kuvuruga Rwanda
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano, Balozi Olivier Nduhungirehe, ameonya wanaotaka kuvuruga usalama wa Rwanda kwamba jeshi lililosimamisha mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi bado lipo na lina uwezo mkubwa zaidi kuliko...


