Polisi wanaojiandaa kwenda katika ujumbe wa amani wamepewa ushauri
Naibu Mkuu wa Polisi wa Rwanda anayeshughulikia operesheni (DIGP), CP Vincent Sano, Jumanne tarehe 10 Machi, aliwataka maafisa wa polisi wanaojiandaa kwenda katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri...


