•     

Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame amepewa Uongozi katika Ofisi ya Rais

Baraza la Mawaziri limeteua viongozi wapya katika idara mbalimbali za nchi, akiwemo na Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame.

Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame amepewa Uongozi katika Ofisi ya Rais
Ange Kagame ampewa nafasi katika Ofisi ya Rais

Mnamo 2019, Ange Kagame  alimaliza Shahada yake ya Uzamili katika Shule ya Kimataifa na Masuala ya Umma ya Chuo Kikuu cha Columbia, SIPA. Aliipata pamoja na shahada yake ya kwanza kutoka Chuo cha Smith katika Sayansi na Siasa.

                       Ange Ingabire Kagame

Bagabo John 

Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame amepewa Uongozi katika Ofisi ya Rais

Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame amepewa Uongozi katika Ofisi ya Rais
Ange Kagame ampewa nafasi katika Ofisi ya Rais

Baraza la Mawaziri limeteua viongozi wapya katika idara mbalimbali za nchi, akiwemo na Mtoto wa Rais wa Rwanda Ange Kagame.

Mnamo 2019, Ange Kagame  alimaliza Shahada yake ya Uzamili katika Shule ya Kimataifa na Masuala ya Umma ya Chuo Kikuu cha Columbia, SIPA. Aliipata pamoja na shahada yake ya kwanza kutoka Chuo cha Smith katika Sayansi na Siasa.

                       Ange Ingabire Kagame

Bagabo John