Ujumbe uliotumwa kupitia akaunti ya Ofisi ya Rais wa Jamhuri, Village Urugwiro, unaeleza kuwa “Rais Kagame amewasili mjini Conakry nchini Guinea, ambako anashiriki katika hafla ya kuapishwa kwa Rais Mamadi Doumbouya, inayotarajiwa kufanyika kesho tarehe 17 Januari 2026
Hafla hiyo ilifanyika mbele ya viongozi mbalimbali wa Afrika na wageni waalikwa, ikiwa ni hatua muhimu katika mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo. Ushiriki wa Rais Kagame unaashiria uhusiano mzuri wa kidiplomasia kati ya Rwanda na Guinea, pamoja na kuunga mkono juhudi za kuimarisha utulivu na uongozi barani Afrika.

Bagabo John
