Hiileo talehe 14 Januari 2025 Profesa Pacifique Malonga amewasilisha kitabu chake Kipya Cha Kiswahili kwenye tume kuu ya Pakistani ambapo amepokelewa na Rehan Younas Mkuu wa jukwaa la Africa House Pakistani.
Pamoja na shukrani kwa Mwaliko kwa Tume Kuu ya Pakistani Jijini Kigali, tarehe 14 Januari 2025, Katibu Mkuu wa AFRICASIA INITIATIVE Profesa Pacifique Malonga amekutana na kuwasilisha kitabu chake kipya kilichochapishwa "KUJIFUNZA KISWAHILI- CHINESE- ENGLISH" kwa Rehan Younas, Mkuu wa Jukwaa la Africa House Pakistan ya utume.

Mkutano huo umehudhuriwa na idadi kubwa ya Wanyarwanda hasa katika jumuiya ya wafanyabiashara wa Kilimo na Viwanda.
Kwa ushirikiano thabiti na unaofanya kazi zaidi wa AFRICASIA, tunatoa wito kwa kampeni yako ya mawasiliano na uhamasishaji yenye ufanisi na bora.
PAMOJA TWAWEZA/Ndiyo kwa pamoja tunaweza.
Profesa Pacifique Malonga
SG
