•     

Tanzania: Abayobozi banenze abishimiye urupfu rwa Job Ndugai

Kuva uwahoze ari Perezida w'Inteko ishinga Amategeko ya Tanzania Job Ndugai yitabye Imana kuri uyu wa gatatu, hakomeje gukwira kwira video ndetse n'ubutumwa bunyura ku mbugankoranyambaga harimo X, aho bishimira urupfu rwa Job Ndugai.

Tanzania: Abayobozi banenze abishimiye urupfu rwa Job Ndugai
Bamwe mu bayobozi batangiye kwamagana abishimira urupfu rwa Job Ndugai

Bamwe mu bishimira urupfu rw'uyu nyakwigendera Ndugai, harimo abayoboke b'ishyaka ritavugarumwe n'ubutegetsi rya CHADEMA, aho bavuga ko ubwo nyakwigendera Ndugai yari Perezida w'Inteko ishinga Amategeko ariwe wavuze ko Tundu Lissu yirukanwa mu Nteko nyamara ngo yari azi neza ko Lissu ari mu bitaro aho yari yaragiye kwivuriza muri Kenya ndetse agakomereza mu bubirigi, nyuma yokuraswa nabantu batigeze bamenyekana.

Kuri uyu wa kane nibwo Umuyobozi w'Akarere ka Kongwa, Simon Mayeka ubwo yajyaga kwa Nyakwigendera Ndugai kwifatanya n'umuryango we, yanenze bamwe bakomeje kwishimira urupfu rwa Job Ndugai  aho yavuze ko atari indangagaciro n'ubumuntu ku banyetanzania.

Simon Mayeka Umuyobozi w'Akarere ka Kongwa

Ati" hari abantu ku mbugankoranyambaga bariho bishimira urupfu rwa Ndugai ariko ndagirango mbabwire ko atari indangagaciro zacu".

Ndugai yitabye Imana mu buryo butunhuranye, kuko yari  ayoboye  abandi mu majwi yo kongera kwiyamamariza kuba Umudepite waho akomoka muri Kongwa.

Dore bumwe mu butumwa bufatwa nk'ukwishimira urupfu rwa Job Ndugai Ubu butumwa bwanditswe na God blessed Rema , wigeze kuba umwe mu bayobozi ba CHADEMA., ubwo yagaragazaga ibyo nyakwigendera Ndugai yakoreye Tundu Lissu. 

Nimesoma kwa makini sana simulizi yako kuhusu marehemu Spika Job Ndugai. Hakika ni jambo la utu na busara kumkumbuka mtu kwa mema yake, hasa baada ya kufariki dunia. Lakini pia ni wajibu wetu kama viongozi kusema kweli kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mama, kwa heshima kubwa kabisa, napenda kusema wazi kuwa siwezi kukubaliana na namna tukio la kufukuzwa kwa Tundu Lissu kutoka Bungeni lilivyowasilishwa kwenye simulizi yako. Kauli ya “Mama ni maelekezo” haimlindi kiongozi aliyekuwa na mamlaka ya kulinda haki na katiba ya nchi yetu.

Wakati Lissu alipopigwa risasi na kupambana na mauti, akiwa bado mbunge halali aliyechaguliwa na wananchi, alinyimwa nafasi ya kutimiza wajibu wake wa kikatiba. Aliondolewa bungeni kwa hoja dhaifu na kikatili, huku taifa likijua aliko na kilichompata. Hilo halikuwa kosa la mfumo tu, lilikuwa uamuzi wa mtu aliyepewa dhamana ya kulinda haki, lakini akachagua kuipuuza kwa sababu ya kulinda cheo na mshahara.

Zaidi ya hayo, kipindi cha Spika Ndugai kilishuhudia kushuka kwa hadhi ya Bunge letu. Bunge lilinyimwa uhuru wa hoja, wabunge walizimwa sauti, hoja binafsi zikakataliwa, na waliotofautiana na mfumo waliadhibiwa waziwazi. Badala ya kuwa jukwaa la wananchi, Bunge likageuka kuwa chombo cha kulinda maslahi ya wachache na kukandamiza kweli.

Mama, ni kweli kuwa hakuna binadamu mkamilifu. Ndugai alikuwa na mazuri yake. Lakini hatuwezi kusahau madhara makubwa ya kiuongozi yaliyosababisha majeraha ya kidemokrasia nchini mwetu. Kukumbuka wema wa mtu hakupaswi kuwa kwa gharama ya kusahau ukweli wa historia. Taifa linapona kwa kusema kweli si kwa kuficha ukweli. Hatuwezi kuwa na Viongozi wanaotesa watu kwa msamaha wa “ Yalikuwa Maelekezo “
Tukiruhusu jambo hili watu wengi wataumia , kuteswa na kuuwawa.

Bagabo John

Tanzania: Abayobozi banenze abishimiye urupfu rwa Job Ndugai

Tanzania: Abayobozi banenze abishimiye urupfu rwa Job Ndugai
Bamwe mu bayobozi batangiye kwamagana abishimira urupfu rwa Job Ndugai

Kuva uwahoze ari Perezida w'Inteko ishinga Amategeko ya Tanzania Job Ndugai yitabye Imana kuri uyu wa gatatu, hakomeje gukwira kwira video ndetse n'ubutumwa bunyura ku mbugankoranyambaga harimo X, aho bishimira urupfu rwa Job Ndugai.

Bamwe mu bishimira urupfu rw'uyu nyakwigendera Ndugai, harimo abayoboke b'ishyaka ritavugarumwe n'ubutegetsi rya CHADEMA, aho bavuga ko ubwo nyakwigendera Ndugai yari Perezida w'Inteko ishinga Amategeko ariwe wavuze ko Tundu Lissu yirukanwa mu Nteko nyamara ngo yari azi neza ko Lissu ari mu bitaro aho yari yaragiye kwivuriza muri Kenya ndetse agakomereza mu bubirigi, nyuma yokuraswa nabantu batigeze bamenyekana.

Kuri uyu wa kane nibwo Umuyobozi w'Akarere ka Kongwa, Simon Mayeka ubwo yajyaga kwa Nyakwigendera Ndugai kwifatanya n'umuryango we, yanenze bamwe bakomeje kwishimira urupfu rwa Job Ndugai  aho yavuze ko atari indangagaciro n'ubumuntu ku banyetanzania.

Simon Mayeka Umuyobozi w'Akarere ka Kongwa

Ati" hari abantu ku mbugankoranyambaga bariho bishimira urupfu rwa Ndugai ariko ndagirango mbabwire ko atari indangagaciro zacu".

Ndugai yitabye Imana mu buryo butunhuranye, kuko yari  ayoboye  abandi mu majwi yo kongera kwiyamamariza kuba Umudepite waho akomoka muri Kongwa.

Dore bumwe mu butumwa bufatwa nk'ukwishimira urupfu rwa Job Ndugai Ubu butumwa bwanditswe na God blessed Rema , wigeze kuba umwe mu bayobozi ba CHADEMA., ubwo yagaragazaga ibyo nyakwigendera Ndugai yakoreye Tundu Lissu. 

Nimesoma kwa makini sana simulizi yako kuhusu marehemu Spika Job Ndugai. Hakika ni jambo la utu na busara kumkumbuka mtu kwa mema yake, hasa baada ya kufariki dunia. Lakini pia ni wajibu wetu kama viongozi kusema kweli kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mama, kwa heshima kubwa kabisa, napenda kusema wazi kuwa siwezi kukubaliana na namna tukio la kufukuzwa kwa Tundu Lissu kutoka Bungeni lilivyowasilishwa kwenye simulizi yako. Kauli ya “Mama ni maelekezo” haimlindi kiongozi aliyekuwa na mamlaka ya kulinda haki na katiba ya nchi yetu.

Wakati Lissu alipopigwa risasi na kupambana na mauti, akiwa bado mbunge halali aliyechaguliwa na wananchi, alinyimwa nafasi ya kutimiza wajibu wake wa kikatiba. Aliondolewa bungeni kwa hoja dhaifu na kikatili, huku taifa likijua aliko na kilichompata. Hilo halikuwa kosa la mfumo tu, lilikuwa uamuzi wa mtu aliyepewa dhamana ya kulinda haki, lakini akachagua kuipuuza kwa sababu ya kulinda cheo na mshahara.

Zaidi ya hayo, kipindi cha Spika Ndugai kilishuhudia kushuka kwa hadhi ya Bunge letu. Bunge lilinyimwa uhuru wa hoja, wabunge walizimwa sauti, hoja binafsi zikakataliwa, na waliotofautiana na mfumo waliadhibiwa waziwazi. Badala ya kuwa jukwaa la wananchi, Bunge likageuka kuwa chombo cha kulinda maslahi ya wachache na kukandamiza kweli.

Mama, ni kweli kuwa hakuna binadamu mkamilifu. Ndugai alikuwa na mazuri yake. Lakini hatuwezi kusahau madhara makubwa ya kiuongozi yaliyosababisha majeraha ya kidemokrasia nchini mwetu. Kukumbuka wema wa mtu hakupaswi kuwa kwa gharama ya kusahau ukweli wa historia. Taifa linapona kwa kusema kweli si kwa kuficha ukweli. Hatuwezi kuwa na Viongozi wanaotesa watu kwa msamaha wa “ Yalikuwa Maelekezo “
Tukiruhusu jambo hili watu wengi wataumia , kuteswa na kuuwawa.

Bagabo John