•     

Msumbiji: Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda

Jeshi la Rwanda kupitia tuvuti ya X , limetangaza kwamba leo tarehe 23 Mei 2025, Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Daniel Chapo ameongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi 525.

Msumbiji: Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda
Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda

Leo, Rais wa Msumbiji ambae pia ndie Amirijeshi mkuu jeshi la  Msumbiji (FADM), Mheshimiwa Daniel Chapo, ameongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi 525 wa Msumbiji katika kozi ya juu ya askari wa nchi kavu,  waliopewa mafunzo na wakufunzi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda. (RDF)

Sherehe ya kuhitimu imefanyika katika Kituo cha Mafunzo cha Nacala katika Mkoa wa Nampula baada ya kukamilisha mafunzo  hayo yaliyo dumu kwa  miezi sita .

Bagabo John 

Msumbiji: Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda

Msumbiji: Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda
Wanajeshi 525 wamefuzu kozi walio pewa na Jeshi la Rwanda

Jeshi la Rwanda kupitia tuvuti ya X , limetangaza kwamba leo tarehe 23 Mei 2025, Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Daniel Chapo ameongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi 525.

Leo, Rais wa Msumbiji ambae pia ndie Amirijeshi mkuu jeshi la  Msumbiji (FADM), Mheshimiwa Daniel Chapo, ameongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi 525 wa Msumbiji katika kozi ya juu ya askari wa nchi kavu,  waliopewa mafunzo na wakufunzi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda. (RDF)

Sherehe ya kuhitimu imefanyika katika Kituo cha Mafunzo cha Nacala katika Mkoa wa Nampula baada ya kukamilisha mafunzo  hayo yaliyo dumu kwa  miezi sita .

Bagabo John